
Babu seya pamoja na wanawe watatu walihukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya kupatika na makosa ya ubakaji wa watoto wadogo wenye umri wa miaka 6 hadi 8 mwaka 2003
Katika kesi iliyosikilizwa leo katika mahakama ya rufaa ambayo iliendeshwa kwa muda wa masaa matatu na kutolewa hukumu ilisababisha vilio baada ya mahakimu Nathalia Kimaro, Mbarouk Mbarouk na Salum Massati kuwaamuru Babu Seya na Papii kocha kurudi jena,kwa upande wa utetezi kesi hio ilikua ikisimamiwa na mawakili Mabere Marando and Hamidu Mbwezeleni,
No comments:
Post a Comment