
Serena Williams anakua mchezaji wa kwanza kuweza kutetea ubingwa wake huko Melborne tangu pale Jennifer Capriati(USA) alipotwaa ubingwa mara mbili mfululizo mwaka 2001 na 2002, Capriati alimshinda Martina Hingis(SUI) mara zote mbili.
Hii itakua ni mara ya tano kwa Serena Williams kutwaa kombe la Australian Open Baada ya kuchukua 2003, 2005, 2007, 2009.
Hii itakua ni mara ya tano kwa Serena Williams kutwaa kombe la Australian Open Baada ya kuchukua 2003, 2005, 2007, 2009.
No comments:
Post a Comment