
Katika mechi ya mwazo Ghana walicheza dhidi ya Nigeria na Ghana walishinda kwa bao 1-0, mafarao watacheza Fainali dhidi ya Ghana siku ya jumapili wakati jumamosi Algeria wataminyana na Nigeria
Matokeo ya mechi nyengine za leo ni kama ifuatavyo:
Copa del Rey
Getafe CF 0 - 1 RCD Mallorca
Coppa Italia
Internazionale 2 - 1 Juventus
No comments:
Post a Comment