Monday, January 4, 2010

JENGO REFU KULIKO YOTE DUNIANI LAFUNGULIWA DUBAI

Jengo lenye urefu wa mita 800 limefunguliwa Dubai na kuwa ndio jengo refu kuliko yote duniani baada ya kuvunja rekodi ya lile la mwanzo lililopo Taiwan, Taipei 101 ambalo lina urefu wa mita 508.

Kwa heshima ya mfalme wa Abudhabi ambae ndie rais wa U.A.E Skeikh Halifa bin Zayed al -Nahyan, jengo hilo limepewa jina lake kwa kuitwa "Burj Khalifa" ( Khalifa Tower).Sherehe hizo ziliongozwa na mfalme wa Dubai Skeikh Mohammad bin Rashed al-Maktoum.

No comments:

Post a Comment