Kwa heshima ya mfalme wa Abudhabi ambae ndie rais wa U.A.E Skeikh Halifa bin Zayed al -Nahyan, jengo hilo limepewa jina lake kwa kuitwa "Burj Khalifa" ( Khalifa Tower).Sherehe hizo ziliongozwa na mfalme wa Dubai Skeikh Mohammad bin Rashed al-Maktoum.
No comments:
Post a Comment