
Waziri wa habari Dora Akunyili ameiambia BBC kuwa mtu huyo Umar Farouk Abdulmutallab alikuwa amesafiri kutoka Accra Ghana na kuwasili nchini Nigeria ambapo alikaa kwa muda wa nusu pekee kabla ya kupanda tena ndege kuelekea Amsterdam.
Maafisa wa Nigeria na Udachi wamesisitiza raia huyo alipitia ukaguzi wote wa usalama kwenye viwanja vya ndege.
No comments:
Post a Comment