%5B1%5D.jpg)
Kifaa hicho aina ya Spliter, hutumika kugawa nyaya zinazopokea umeme kutoka Gridi ya Taifa ambacho kililipuka muda mfupi juzi jioni baada ya mafundi kukamilisha matengenezo kufuatia njia moja inayopokea umeme katika kituo hicho kulipuka Desemba 10, mwaka huu.
Waziri Mansour, alisema kifaa hicho kitachelewa kutengenezwa kwa vile viwanda vinavyotengeneza wahusika wapo likizo ya Krismasi na Mwaka Mpya.
Alisema kifaa hicho kinapatikana nje ya nchi na hivyo akawataka wananchi wa Zanzibar kuwa wastahimilivu.
No comments:
Post a Comment