Sunday, December 20, 2009

RWANDA MSHINDI MISS EAST AFRICA 2009


Mrembo kutoka Rwaanda Cynthia Akazuba usiku wa kuamkia leo amenyakua taji la miss East Africa wakati nafasi ya pili ilichukuliwa na mrembo Dalysha Doorga kutoka Mauritius na mwanadada Victoria Martin wa Tanzania alichukua nafasi ya tatu,mashindano hayo yalifanyika katika ukumb wa Mlimani City jijini Dar-es salaam

No comments:

Post a Comment