Wednesday, November 25, 2009

KITUO CHA POLISI MALINDI ZANZIBAR


Mzee kiss naomba uwawekee hii picha ya kituo chetu cha Polisi wa usalama barabarani Malindi Kituo hichi kina kawaida ya kulia honi kila sikua mara tatu asubuhi saa moja na nusu, ni wakati wa kwenda makazini, mchana saa tisa na nusu, ni wakati wa kutoka makazini, na saa kumi na mbili na nusu jioni, hii inatumika sawa na wakati wa kusali sala ya magharibi na ikiwa ni wakati wa mwezi wa Ramadhani watu hutumia kama ni wakati wa kuftari.

Ali abdallah, Darajani Zanzibar

No comments:

Post a Comment