Wednesday, May 19, 2010

ALAIN ROBERT ALIPOPANDA BURJ KHALIFA



Alain Robert Spiderman wa kifaransa ambae ni bingwa wa kupanda minara na majumba marefu bila ya kutumia chombo chochote kwa ajili ya uslama wake, amepanda jengo la Burj Khalifa lilioko Dubai kwa takriban dakika 20 tu, jengo ambalo ndilo refu kuliko majengo yote duniani huku umati wa watu ukiwa unashuhudia kitendo hicho.
.

No comments:

Post a Comment